Posts

Mashindano ya uhamasishaji wa lugha ya kiarabu kwa walimu wa vyuo vya kiarabu vilivyo chini ya Taasisi ya Samail yamalizika vyema.

Madereva wa daladala Moshi wagoma.

Upinzani Afrika kusini unasema ANC haina nafasi katika uchaguzi.

Marekani yashambulia ngome ya Islamic State nchini Libya.

Senegal waandamana kupinga ukatili.

Serikali ya Tanzania kukata rufaa ndoa za utotoni.

Mapya yaibuka ugonjwa wa ajabu Dodoma.

Mrema amtaka Lowassa akubali kwamba alishindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana.

Goodbless Lema Amvaa Mkuu wa Wilaya Mbele ya Naibu Waziri Suleiman Jaffo.

Bilionea wa Chadema Mustapha Jaffer Sabodo Akitosa Chama Hicho.........Aahidi Kutoa Trilioni 10 za Kuwekeza Dodoma ili Kumuunga Mkono Rais Magufuli.

Mzee jela miaka 15 kwa kumiliki silaha Kinyume cha Sheria.

Wafungwa Kifungo cha Maisha Jela Kwa Kumbaka Mama Mbele ya Mumewe na Watoto.

Dereva wa City Boy Iliyoua watu 30 Ajisalimisha Polisi.

Ugonjwa wa Sumukuvu Wahatarisha Maisha Nchini........Umeua Watu 14 Mpaka sasa Huku 54 Wakiwa Wanaugua Ugonjwa Huo.