Posts

Spika mpya BLW ala kiapo na aahidi uadilifu na umakini mkubwa ili kupata ufanisi.

Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa afanya ziara ya kushtukiza KOJ Kurasini.

Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 116.4 kutoka Japan.

Sekta ya barabara Arusha kutumia shilingi bilioni 12.

Serikali yafuta usajili wa NGOs 109.

Serikali yabebeshwa lawama.

Magufuli asema wanaoishi kama malaika wataishi kama shetani.

Balozi Iddi: Serikali Umoja wa Kitaifa Z'bar ipo palepale.

Zanzibar: Hatutishiki na pesa za MCC.

Auawa Kwa Kuchomwa Kisu Akigombea Mwanamke Baa.

Rais Magufuli Awataka Watanzania Waepuke Misaada ya Masharti Toka kwa Wazungu.....Pia ameahidi Kuwapunguzia Kodi Wafanyakazi Hadi Asilimia 10 au 9.

Waziri wa Mambo ya nje, Balozi Mahiga Asema Serikali imesikitishwa na Kusitishwa kwa Msaada wa Mabilioni ya Marekani.

Wafanyakazi watatu TANESCO Watiwa Mbaroni Kufuatia Kifo cha Mfanyakazi Mwenzao Aliyenaswa na Umeme Juu ya Nguzo.

Diwani wa CHADEMA Apeta Mahakamani, wa CCM Chali baada ya Pingamizi Lake Kutupwa.

Waliompiga Daktari Mkoani Mtwara Wakamatwa Wakijiandaa Kutoroka Kwenda Nje ya Nchi.