Mkuu wa Wilaya Jerry Murro Akimfokea Hadharan Mkurugenzi wake...."Huu ni UPUUZI, Sitauvumilia".

Uvumilivu ulimshinda Mkuu wa Wilaya Jerry Muro na kujikuta akimfokea hadharani Mkurugenzi kwa kuchelewa kwa dakika 10 katika ziara iliyowahusisha viongozi wote akiwemo mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo

"...Dakika 10 nzima tunakusubiri kwenye msafara, huu ni UPUUZI na sitauvumilia, usicheke mkurugenzi, usinidharau" -Ni baadhi ya Maneno ya DC Jerry Muro

==>>Msikilize hapo chini



Mkuu wa Wilaya Jerry Muro Akimfokea Hadharani Mkurugenzi

Mpekuzi.

Comments