
Hafla sainihiyo imefanyika katika Ofisiya Makamu wa Pili kati ya
Mamlaka ya Mwezi Mwekundu ya UAE itakayoshughulikia ujenzi huo na
Kamisheni ya Maafa ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud
Mohammed, amesema msaada waujenzi hayo ni imatunda ya ziara iliyofanywa
na RaisDk. Ali Mohamed Shein katika Falme za Kiarabu wiki kadhaa
zilizopita.
Katikaziara hiyo, Mfalme wa UAE aliahidi kuisaidia Zanzibar katika sektambalimbali zamaendeleo nahuduma zakijamii.
“Tunaishukuru Serikaliya UAE kwa msaada huu mkubwa ambao
utazidikuimarisha uhusiano naudugu uliopo baina yanchi zetu,”alisema
Aboud.
Nae Mkurugunzi wa Kamisheni ya kukabiliana na Maafa Shaaban Seif
Mohammed, amesema msaada huo utasaidia kuondoa usumbufu wanaopata
wananchi katika kipindi cha mvua hasa yanapotokea mafuriko.
“Wananchi wanaoishi maeneo ya Ziwa Maboga, Mwanakwerekwe namengine
yanayotuwama maji ndio watakao hamishiwa kwenye nyumba hizo ili wakae
katika makaazi salama,” alisema.
“Aidha nyumbazilizojengwa katika maeneo yenyekupita au kukaa maji
tutazivunja ili kukomesha maafa nausumbufu,”alielezaMkurugenzihuyo.
Mkurugenzi huyo amewataka wananchi kuchukua tahadhari zamapema
kwakuondoka maeneo yanayokaa maji ilikuepukana na hasara namatatizo
wakati wakipindi cha mvua.
Nae mwakilishi kutoka ubalozi wa UAE Mohammed Ibrahim Al-Bahr,
amesema Serikali yanchi yake itaendelea kuisaidia Zanzibar kwakuimarisha
huduma zakijamii ikiwemo hospitali nauchimbaji wa visima kwalengo la
kuwasaidia wananchi wake pamoja na kuleta maendeleo.
Ameishukuru Serikali ya Zanzibar kwakuwapatia ardhi itakayotumika
kujenga nyumba za makaazi ya kudumu kwaajili ya wananchi waliokumbwa
namaafa ili waishi kwafuraha nautulivu.
Mradihuo utahusisha nyumba 55 ambapo 30 zitajengwa Fukuchani Mkoa
waKaskazini Unguja, nanyengine 25 zitajengwaTumbe Mkoa wa Kaskazini
Pemba.
chanzo: Zanzibar24.
Comments