
Kamanda wa Polis Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Hassani Nassir Ali amesema bado
waeaendelea kusimamia usalama bara barani na kudhibiti vitensdo vya uhalifu
kiholela.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari huko
ofisini kwake muembe madema kuhusiana na matukio ya wiki iliyopita yaliotokea sehem mbali mbali ndani ya mkoa
huwo.
Amesema kuwa wiki iliyopita kuna taarifa ya vifo vilivotokea
tarehe 1-2 huko uwanja wa ndege wa zanzibar ndege kuwaka moto na kusababisha
vifo vya marubani walio katika ndege hiyo, tarehe 2-2 kukutwa maiti ndani ya
chumba huko tembo hotel aliefahamika kwa jina la edward marcelo raia wa
ajentina.
Kwa upande wa opresheni zaotarehe 30-1 wamemkata juma khamis
juma akiwa na chupa za drop 12 zenye
pombe aina ya kienyeji,31-1 ali khamis ali akiwa na majani makavu aina ya bangi
yakiwa ndani ya kisado, 1-2 ali khamis ramadhani akiwa na mafurushi 4 ya majani
makavu[bangi].
Ajali barabarani kuna ajali 3 zimetokea na 1 imesababisha
kifo tarehe 28-1 huko m,boriborini gari kumgonga kassim abdallahn naothmani
haji hatimae kufariki dunia pia kuna makosa 191 yamekatwa na kufikishwa
mahakani na kuchukuliwa sheria.
Comments