
Mh. Lema amesema kuwa utu na haki ndio kifo halisi katika maisha yetu na kuandika maneno haya katika ukurasa wake wa twiter kuwa “Watu wengi wanafikiri kufa ni jambo baya na gumu,lakini ukweli ni kwamba kuishi bila wajibu,utu na haki ndio kifo halisi katika maisha yetu,wewe Tambwe uliishinda hofu .Utaendelea kuishi,” ameandika Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Marehemu Tambwe Hizza amefariki akiwa ni mmoja wa waratibu wa kampeni za chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) katika jimbo la Kinondoni.
chanzo:zanzibar24.
Comments