
Mmmoja miongoni mwa viongozi wa kiwacha hicho Ali Khamisi anasema
kuwa alipopata ripoti kutoka kwa wachezaji wake kuwa kunabaadhi ya watu
wamekuja kufanya ushirikina walishirikiana kwapamoja kukitafuta kijungu
hicho na tayari wameshafanikiwa kukiona na ndani yaki kimeandikwa baadhi
ya majina baadhi ya wachezaji.
Hata hivyo viongozimwa kiwanja hicho wamewashauri viongozi wa
Serikali kuwasaidia katika kuandamana na changamoto mbali mbali
zinazojitokeza katika kiwanja hicho ili fani yao yamichezo iweze
kuendelea.
Nae Sheha wa Shehia ya Kigunda Makame Madina amethibitisha nkuwepo kwa kitendo hicho.
“hili tukio kweli limetokea na linaonesha wazi kuwa
limetendeka kwa imani za kishirikina kimeoneka kijungu kikiwa kina
maandishi yakiarabu nahuyo aliefanya kitendo hicho tuna mjua na kwani
aliendakuazima mtaimbo sehemu akaonekana kwahiyo tunamtaka aje
ajisalimishe mwenyewe na kama hajajitokeza tutamfichua”
Comments