
Hayo yamebainishwa na baadhi ya wakulima kufuatia kukithiri
kwa vitendo hivyo
katika shehia ya
kiboje mkwajuni wamesema
wanajishughulisha na shughuli za kilimo kwa lengo
la kujikwamuwa kimaisha
lakini bado wanakabiliwa na
tatizo la uingizwaji wa
wanyama katika mashamba.
Nae MABROK
JUMA KHAMIS ambae ni
sheha wa shehia
hiyo amekiri kuwepo kwa tatizo hilo na amesema
jitihahada nyingi
zinachukuliwa na jeshi
la polisi katika kuondowa
vitendo hivyo lakini
bado baadhi ya
wafugaji hawathamini nguvu
za wakulima.
Hata hivyo
amewataka wakulima na
wafugaji kuwa na
mashirikiano ya pamoja
katika kuendeleza shughuli
za uchumi kwa
lengo la kujikwamuwa
na hali ngumu
ya maisha.
Comments