Udhalilishaji bado ni tishio katika jamii.

Related image
Imeelezwa kuwa vitendo vya udhalilishaji vimekuwa vikiendelea katika jamii Licha ya serikali kupambana na suala hilo.

Wakizungumza baadhi ya wakaazi wa dunga wamesema vitendo vya udhalilishaji vimeenea katika jamii jambo ambalo inawarejesha nyuma kimaendeleo.

Nae Salma Sleiman kutoka  jumuiya ya wanasheria wanawake zanzbar amesema wameamua kuandaa mpango wa utoaji elimu kwa  ili  kuwa na uwelewa kuhusu vitendo vya udhalilishaji.


Pamoja na hayo ameiomba jamii kuachana na muhali na badala yake watoe ushirikiano ili kutokomeza vitendo vya udhalilishaji nchini.

Comments