Serikali yatoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa homa ya Chikungunya.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa tahadhari kuhusu
ugonjwa wa homa ya Chikugunya ambao umeripotiwa na vyombo vya habari
kutokea jijini Mombasa nchini Kenya.
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya wanasema kuwa ugonjwa
wa Chikunganya unasababishwa na kirusi ambacho kinaenezwa na mbu wa
aina ya Aedes na kusema ugonjwa huu si mgeni nchini Tanzania kwani
ulishawahi kutokea.
Comments