Matukio mbalimbali yaliyotokea katika resi za ngalawa.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mashindano ya resi za Ngalawa yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya
Mjini Unguja ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
Wananchi
mbalimbali waliohudhuria katika mashindano ya resi za Ngalawa
yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya Mjini Unguja.ikiwa ni shamra
shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mtangazaji
wa ZBC Redio Fatma Said akiangalia Resi za Ngalawa kwa kutumia Darubini
katika mashindano yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya Mjini
Unguja.ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
Ngalawa
inayojulikana kwa jina la Fimbo ambayo ilitokea mshindi wa kwanza
inayoongozwa na Nahodha Suleiman Ali ikiingia Mfundani katika mashindano
yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya Mjini Unguja.ikiwa ni shamra
shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Wananchi
mbalimbali wakizitizama Ngalawa zinazorejea ambazo zimo katika
mashindano yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya Mjini Unguja.ikiwa ni
shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Naibu
Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Mhe,Chum Kombo Khamis
akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni Rasmi katika mashindano ya resi za
Ngalawa yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya Mjini Unguja.ikiwa ni
shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Wairi
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum
za SMZ Mhe,Haji Omar Kheir akitoa hotuba na kuwapongeza washiriki wa
mashindano ya resi za Ngalawa yaliofanyika Forodha mchanga Wilaya ya
Mjini Unguja.ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
Wairi
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum
za SMZ Mhe,Haji Omar Kheir akimkabidhi mshindi wa kwanza wa Resi za
ngalawa Nahodha Suleiman Ali zawadi ya Shilingi za kitanzania 300000
Laki tatu mashindano yaliofanyika Forodha Mchanga Wilaya ya Mjini
Unguja.ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
Comments