Mashirikiano ndio chanzo cha kupeleka mbele maendeleo.



Related image
Wazazi na walezi wametakiwa kuongeza ushirikiano kwa walimu ili kupeleka mbele  maendeleo ya elimu kwa watoto wao.

Akizunguma na NOCOMPED MEDIA msimamizi  wa skuli ya the world talent  iliyopo jangombe Juma Muhammed Mzee katika mahafali ya skuli hiyo amesema wanakabiliwa na changamoto ikiwemo baadhi ya wazazi kutolipa ada skulini hapo jambo ambalo linarejesha nyuma maendeleo ya skuli hiyo.           

Kwaupande wao baadhi ya wanafunzi waliopewa vyeti kwa somo la kiengereza   wamesema wamefaidika vya kutosha kupitia mafunzo ya lugha hiyo.

Hata hivyo wamewashauri wanafunzi wenzao kutokata tamaa katika kutafuta elimu na badala yake  wafanye bidii ili kufikia malengo waliyojiwekea.

Comments