Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Kheri James, nje ya Ukumbi
wa Chuo cha Mipango, mjini Dodoma Desemba 11, 2017 (katikati) ni Katibu
wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
chanzo:Mpekuziblog.
Comments