Skip to main content
Lowassa ahudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Kenyatta.
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Edward Lowassa ni miongoni mwa
wageni waliofika Kasarani kwenye sherehe ya kuapishwa kwa Bw Uhuru
Kenyatta hii leo November 28, 2017.
Picha ikimuonesha Lowassa akiwa ameketi Kasarani.
chanzo: zanzibar24.
Comments