Moto mkubwa wateketeza hoteli ya kifahari Myanmar.

Mmoja afariki na wengine kujeruhiwa kufuatia Moto mkubwa ulioteketeza hoteli ya kifahari katika mji wa Yangon nchini Myanmar.
Moto huo ulianza majira ya  saa 20:30 GMT siku ya Jumatano katika hoteli ya Kandawgyi Palace.
Iliwachukua mamia ya wazima moto saa kadha kuuzima moto huo. Zaidi ya wageni 140 waliondolewa.

Haijuliana moto huo ulinza kwa njia gani huku ripoti za kukanganya zikisema kuwa kulikuwa na mlipuko wa mtungi wa gesi au hutilafu ya umeme.
“Hakukuwa na king’ora na vurugu zilikuwa ni kama kulikuwa na walevi hotelini,” mtalii mmoja alisema, akiongeza kuwa ni mfanyakazi mmoja ambaye alimuelekzea eneo salama.
Wageni wamehamishwa kweda kwa hoteli zingine mjiji Yangon.
Hoteli hiyo ili kando ya ziwa Kandawgyi, ilijengwa miaka ya 1990 lakini hu.
chanzo:zanzibar24.

Comments