Dkt. Shein afanya uteuzi wa mwenye kiti wa Bodi ya Ushauri ya Usajili wa Magazeti na vijarida.

uteuziKwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu cha 4 (a) cha Sheria ya Usajili ya Magazeti na Vijarida Namba 5 ya Mwaka 1988, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, amemteua Bwana Yussuf Omar Chunda kuwa MWENYEKITI WA BODI YA USHAURI YA USAJILI WA MAGAZETI NA VIJARIDA, ZANZIBAR.

Uteuzi huo umeanza tarehe 19 Oktoba, 2017.


Taarifa ya uteuzi huu kutoka Ikulu Zanzibar, imesainiwa na Dkt. Abdulhamid Y. Mzee, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, ZANZIBAR.

chunda
chanzo: zanzibar24.

Comments