Ofisa Habari wa ACT-Wazalendo, Abdallah Khamis amesema Zitto ambaye ni Kiongozi Mkuu wa chama hicho amekamatwa jioni hii.
Leo
Jumatano asubuhi, Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah alisema Zitto
atafutwe, akamatwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki,
Maadili na Madaraka ya Bunge.
Alisema Zitto alipewa
barua ya wito wa kufika mbele ya kamati hiyo baada ya Spika Job Ndugai
kuagiza hilo lifanyike lakini hajalitekeleza.
chanzo:Mwananchi.
chanzo:Mwananchi.
Comments