Rais wa Zanzibar aweka jiwe la msingi Skuli mpya ya Chimba Micheweni Pemba.


WANAFUNZI wa skuli ya Kinowe msingi, waliohudhuria hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la skuli mpya ya Chimba wilaya ya Micheweni, ambapo kazi hiyo ilifanywa na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

SKULI mpya ya msingi ya shehia ya Chimba wilaya ya Micheweni Pemba, ambayo jana iliwekewa jiwe la msingi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pembe Juma, akizungumza kwenye hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la skuli ya mpya ya Chimba, kazi iliofanywa na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, akizungumza na wanafunzi na wazazi wa Chimba wilaya ya Micheweni Pemba, mara baada ya kuweka jiwe la msingi la madarasa matano ya skuli mpya ya Chimba, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tano kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

chanzo:zanzibar24.

Comments