
Amesema kuwa ni muda mrefu alishatoa taarifa kwenye jeshi la polisi kuhusu watu hao wanaotumia jina lake kwenye mitandao ya kijamii na kujifanya kutoa mikopo yenye riba ndogo na kuwatapeli wananchi pesa zao.
“Wanaojitambulisha kutoa mkopo kwa jina langu ni matapeli, sihusiki nao !Nimetoa taarifa polisi inaonekana hawakamatiki” alisema Halima Mdee
chanzo: zanzibar24.
Comments