
Mkuu
wa Mkoa aliyasema hayo alipokuwa akifungua semina ya siku moja ya
wajasiriamali huko katika Ukumbi wa kiwanda cha mafuta ya makonyo wawi
Kisiwani Pemba yenye lengo la kuzungumzia umuhimu wa kujiunga na mifiko
ya hidha ya jamii.
Amesema mfuko wa pencheni wa PPF ni njia itakayo wapelekea wajasiriamali kufanyakazi kwa uhakika na mafanikio.
Hata
Hivyo Mkuu huyo wa Mkoa amewakataka wajasiriamali hao kujitathmini ili
kuweza kuzitumia fursa zilizopo kwa lengo la kupata mafanikio zaidi.
Chanzo: zanzibar24.
Comments