kuwachinja Mbuzi 13 wa wafugaji wawili tofauti
katika kijiji cha Fuoni Birikau.
katika kijiji cha Fuoni Birikau.
Tukio hilo limetokea usiku wa jana majira ya saa kumi za usiku wakati wafugaji wa mbuzi hao wakiwa wamelala.
Mmiliki mmoja wa mbuzi hao ambae ameibiwa mbuzi tisa ndugu Makame
Salum ameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi ili kuwasaidia
wafugaji ambao lengo lao ni kujiondoa katika umasikini.
Ameelezea kuhuzunishwa na tukio hilo lililomsabababishia kupata hasara ya shilingi laki sita.
Mfugaji mwengine wa mbuzi aliyepatwa na mkasa huo ni ndugu ali masoud
aliyefungiwa mlanvgo wa nyumba yake kwa nje na kisha kuibiwa Mbuzi
wanne.
kamanda wa polisi mkoa Mjini Magharibi Hassan Nassir hakupatikana kuzungumzia tukio hilo .
chanzo:Zbc.
Comments