Akizungumza wakati alipomtembelea kijana ambae aliyejeruhiwa kwa
kupingwa mapanga wiki hii wakati wa ziara ya kamati ya Ulinzi na Usalama
ya Magharibi ‘A’ amesema serikali inaalani vitendo vya wananchi kuchuka
hatua mikononi na kusitishwa na tukio alifanyiwa kijana huyo.
Aidha ametoa pole kwa familia ya kijana Khamisi Mgaya Juma aliyepatwa
na mkasa huo na kutoa wito kwa jamii kutoa ushirikiano kuripoti
matukutio yoyote ambayo hayakubaliki katika jamii.
Baba mzazi wa Mgonjwa huyo amesema amesikitishwa na tukio hilo kwa
mwanae kuiomba serikali kuwachuliwa hatua ili kudhibiti matatizo
kama hayo yasiweze kujirejea.
Mkuu wa upelelezi wa Magharibi ‘A’osd Yussuf Daniel
amesema atahakikisha jeshi la polisi linawachukulia hatua kali wale
wote waliohusika ili kudhibiti vitendo kama hivyo.
chanzo:Zbc.
Comments