Mkurugenzi wa idara ya maendeleo ya vijana ya wizara ya kazi,
uwezeshaji, wazee, vijana, wanawake na watoto bibi mwanaidi mohamed ali
amesema makundi ya watu wenye mahitaji maalum bado wanahitaji kuendelea
kuungwa mkono na jamii katika njia ya kujaribu kukabiliana na changamoto
zao.
Amesema njia hiyo ikiwemo misaada ya kibinaadamu, vifaa pamoja na
taaluma zinaweza kuwa chachu ya kuwaondoshea fikra potofu za kujihisi
kwamba wanatengwa na jamii iliyowazunguuka.
chanzo:Zbc.
Comments