Akizindua uvunaji wa mpunga katika bonde la langoni amesema askari
katika taifa lolote wanatakiwa kuwa mstari wa mbele na kuwa tayari
kwaajili ya kujenga uchumi wa nchi yake.
Amefahamisha kuwa jeshi likisimama imara katika uzalishaji wa mazao
ya chakula kutasaidia kubana matumizi kwa ununuzi wa chakula kutoka nje
ya jeshi hilo.
Nae asp, amour naim, akitoa tathmini juu ya uvunaji huo wa mpunga na
mahindi amesema katika mavuno ya msimu huo jumla ya ekari kumi zimevunwa
na kusaidia kwa matumizi ya ndani kwa kikosi hicho cha mafunzo.
chanzo:Zbc.
Comments