Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amefikishwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Kisutu leo asubuhi akisubiri kesi yake.
Mdee,
alikamatwa na Polisi siku sita zilizopita kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya
Kinondoni, Ali Hapi kwa madai ya kumkashifu Rais John Magufuli.
chanzo:mpekuziblog.
Comments