Yusuf Manji asitisha mpango wa kuliendeleza eneo la ufukwe wa Coco Beach.

Yusuf Manji amesitisha mpango wa kuliendeleza eneo la ufukwe wa Coco baada ya Rais Magufuli kuagiza libaki kwa ajili ya matumizi ya wananchi.

==>Hapo chini kuna tamko lake ( Libonyeze Kuyakuza Maandishi)
chanzo:Mpekuziblog.

Comments