
Wabunge wamesimama na kuanza kuimba huku wakipiga makofi, marais wa awamu zilizopita; Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete wametajwa.
"Tuna imani na Mkaaapa...oya oya oya
Mkapa kweeeli...kweli
Kweli, kweli, kweli Mkapa.
Tuna imani na Kikweeetee...oya oya oya
Kikwete kweeli
Kweli, kweli, kweli Kikwete."
Wimbo huo umeimbwa baada ya Waziri Kivuli wa Fedha na Mipango, David Silinde kulitaka Serikali kuileta bungeni mikataba yote ya madini ili ijadiliwe.
chanzo:Mpekuziblog.
Comments