
Mtuhumiwa huyo alijiripua mahakamani hapo kwa kukubali kosa lake la
kuiba ving’amuzi hivyo kimoja cha Azam TV na kingine cha Star Times
vikiwa nathamani ya shilingi lakimbili kwa kukisia.
Upelelezi1 wa shauri hilo umeshakamilika na mtuhumiwa amepelekwa
rumande hadi tarehe 16/6 mwaka huu shauri lake litakapo sikilizwa tena
na kutolewa hukumu.

Comments