Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amezindua
kiwanda cha kuunganisha matrekta cha Ursus na kiwanda cha Nondo cha
Kiluwa ambapo amewataka wawekezaji kujitokeza kwa wingi kwani Serikali
iko nao bega kwa bega.
"Kiwanda
ni kikubwa na kinatoa nondo ambazo zinaweza kujenga daraja lolote
Tanzania au Ulaya.Tanzania tuna chuma, kwa nini tuagize chuma kutoka
Brazil au China.


chanzo:Mpekuziblog.
Comments