
Waziri Mwijage ameteuliwa kuwasilisha bajeti hiyo leo bungeni baada ya Rais Dkt Magufuli kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo Mei 24 mwaka huu ikiwa ni wiki moja kabla ya bajeti kuwasilishwa.

Katika bajeti hiyo inayowasilishwa leo, majadala katika sekta ya madini ndio unatarajiwa kuchukua nafasi kubwa kutokana na ripoti ya Prof. Mruma iliyowasilishwa kwa Rais kuhusu makinikia yaliyozuiwa bandarini.
chanzo:zanzibar24.
Comments