
Mnamo tarehe 27 Disemba mwaka jana mtuhumiwa huyo alimuiba kuku huyo
na mayai yake mwenye thamani ya shilingi elfu tano kwa kukisia mali ya
Ali Omar Khamis mkaazi wa Mahonda mto mchanga.
Baada ya kusomewa kosa lake mtuhumiwa huyo alikataa na kuiomba
mahakama impe dhamana ombi ambalo mlilikataliwa na kuamuriwa kwenda
rumande kwa muda wa wiki mbili hadi kesi itakapotajwa tena.
chanzo: zanzibar24.
Comments