Leo June 30, 2017 manamo majira ya mchana gari la mzigo lenye number
za usajili Z 737 AX, ambalo lilikua na shehena ya mchanga lime pinduka
na kuelemea gari ya abiria ya FUONI SAATENI.
Tunaendelea kufuatilia ili kuwaletea taarifa rasmi………….
chanzo: zanzibar24.
Comments