
Akizungumza na Zanzibar24 mwalimu wa skuli hiyo Ame Haji Vuai na
kusema eneo la skuli ya msingi Bububu limekua na athairi kubwa dhidi ya
uchafuzi wa mazingira na kuamua kupanda mikoko ili kulinusuru eneo hilo
kuharibika kabisa.
Nae Omar Khatib kutoka idara ya misitu na mali amesema kuwabinaadam
ni nchanzo kikuu cha uharibifu wa mazingiza pamoja na kuwa elimisha
wanafunzi wa skuli hiyo juu utunzaji wa mazingira yanayowazunguka na
kupanda miti.
“Upandaji huo wa mikoko ni muhimu kama ulivyo upandaji wa miti mengine kwa ajili ya kuzuia uharibifu wa mazingira.
Zaidi ya miti alfu kumi aina ya mikoko imepandwa katika eneo la skuli
na fukwe kwa lengo la kutudisha mazingiora na kukabiliana na mabadiliko
ya tabia nchi.
chanzo: zanzibar24.
Comments