
Kabla ya Uteuzi huo Bwana Shaaban Seif Mohamed alikuwa Msaidizi Mrajis wa Bodi ya Hospitali Binafsi katika Wizara ya Afya.
Bwana Shaaban Seif Mohamed amechukua nafasi ya Bwana Ali Juma Hamad ambae atapangiwa kazi nyengine.
Uteuzi huo umeanza tarehe 20 Mei, 2017.
chanzo:zanzibar24.
Comments