
Dk. Mwakyembe aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na wadau
mbalimbali na wanataaluma wa vyombo vya habari katika maadhimisho ya
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizofanyika kitaifa mkoani
Mwanza.
“Hii media nyingine ambayo inafanya kazi zilezile kama za vyombo vya
habari vya eletroniki, lakini nadhani tulikuwa hatujaamka kutunga
kanuni, lakini nauhakika ndani ya muda si mrefu hilo litafanyika…lakini
litakuwa zoezi shirikishi kama nilivyo ahidi…,” alisema Waziri Dk.
Mwakyembe.
chanzo:zanzibar24.
Comments