
Damaso Lopez alikamatwa katika mji wa Mexico City kwa tuhuma za kusafirisha tani za dawa za kulevya kwenda Marekani.
Tokea kukamatwa kwa aliyekuwa kiongozi wao Joaquin Guzman, viongozi wa
juu wa Saniola wamekuwa wakihitilafiana kwa kung'ang'ania madaraka hali
iliyopelekea kuibuka kwa uhalifu katika maeneo ya Saniola.
chanzo:Bbc.
Comments