Mwenyekiti wa CUF, anayetambuliwa na ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Ibrahim Lipumba amekanusha yanayosemwa na watu wakiwamo wanachama wenzake kuwa anatumiwa na CCM kuivuruga CUF.
Profesa Lipumba yupo katika mahojiano ya moja kwa moja sasa hivi yanayorushwa na Televisheni ya Clouds.
chanzo:Mwananchi.
Comments