Habari za hivi punde: Askari Polisi azama Kibonde Mzungu.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Askari polisi wa kituo cha Unguja Ukuu aliyejulikana kwa jina la
Abasi Anasi ametumbukia katika eneo la Fuoni Kibonde mzungu wakati
akipita na vespa saa tano asubuhi ya leo.
Mpaka sasa askari huyo bado hajaonekana ila vespa aliyokuwa akiendesha tayari imeokolewa na kikosi cha zimamoto na uokozi.
Comments