
Kufuatia tukio hilo, jeshi la polisi linamshikilia binti huyo mwenye umri wa miaka 18 kwa uchunguzi zaidi baada ya kufukua shimo alilokuwa amezikwa kichanga huyo.
Latifa Vedasto alipohojiwa na Mtendaji wa kata hiyo amesema alimjulisha bibi yake kile kilichokuwa kinaendelea ambapo anasema alijifungua salama lakini usiku wa kuamkia May 14 mwaka huu alikuta mtoto wake amefariki dunia na ndipo alipoamua kwenda kumzika.
chanzo:zanzibar24.
Comments