
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi amesema athar kubwa
ya kukatika kwa bara bara changaweni kumepelekea kusimama kwa harakati za
mawasiliano ya usafirki kwa muda kutoka chake chake kwenda mkoani kisiwani
hapa.
Amefahamisha kuwa wamefanya jitihada kubwa ya kurejesha mawasiliano
hayo kwa kuikarabati bara bara kongwe ili wananchi wapate hudumu hiyo
ilikupisha kukarabati pale ambapo kumetokea tatizo la kuigawa wilaya ya chake
chake na mkoani.
Ameeleza kuwa kwa sasa wanaendelea kufanya tathmini ya kubaini
ukubwa wa uharibi uliotokana na
kuharibika kwa bara bara hiyo kutokana na ukubwa ya atahar zenyewe.

Comments