Balozi Seif ashuhudia daraja la Changaweni Pemba likikatika.

Makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seifa Ali Iddi akishuhudia daraja la meli mbili Changaweni Likipasuka ikiwa ni katika moja ya ziara yake ya kuwafariji wananchi waliopatan maafa yanayotokana na mvua zinazoendelea.

Ziara hiyo anafanyika muda huu katika maeneo mbali mbali huko Pemba.



 chanzo:zanzibar24.

Comments