TWAWEZA: Hali ya somo la kiingereza bado inatisha skuli za msingi.

Taasisi ya Twaweza imebainisha tathmini ya matokeo ya kujifunza pamoja na mazingira ya kujifunzia nchini Tanzania kutokana na utafiti ya mwaka 2015.

Imeelezwa kuwa hali ya uelewa wa somo la lugha ya Kiingereza ktk shule za msingi imedhihirika kuwa mbaya sana hasa kwa shule za Serikali.


52% ya wanafunzi wa darasa la 7 hawawezi kusoma hadithi ya kiingereza ya darasa la 2.  Vilevile 13% tu ya wanafunzi wa darasa la 3 ndio walioweza kusoma hadithi hiyo.

Hii ilikuwa ni moja ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya TWAWEZA wakishirikiana na Uwezo Tanzania wakifanya Tathmini ya matokeo ya kujifunza nchini.

Je hii inachangia ufaulu mbaya wa wanafunzi kidato cha nne?
chanzo: zanzibar24.

Comments