
Imeelezwa kuwa baada ya kutolewa nafasi hizo
bado kuna nafasi nyengine za walimu 1,048 zilizotolewa kibali cha ajira
kutoka kwa walimu.
Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene amesema kuna upungufu wa
walimu 26,026 wa masomo ya sayansi na hisabati na kuna ziada ya walimu
7,463 wa masomo ya sanaa nafasi ambazo zitatakiwa kujazwa.
chanzo: zanzibar24.
Comments