
Mwanamke huyo aliyetambuliwa kwa jina moja la Hudhaima Mkaazi wa
Kikwajuni ambae pia na mwanafunzi wa kidatu cha tatu katika Skuli ya
Glorius.
Sababu ya kujitupa mwanafunzi kutokana na kugombwa pamoja na
kunyang’anywa simu yake nyumbani kwao kutokana na matumizi mabaya ya
simu hiyo.
Kwa taarifa zilizopatiakana mwanamke huyo tayari ameshafikiswa Hospitali ya Mnazi mmoja kwa ajili ya matibabu.
chanzo:zanzibar24.
Comments