Mtoto wa darasa la kwanza Mkoani Pwani aliyetambulika kwa jina la
Karim Salum anahofiwa kufariki Dunia baada ya kuzama wakati alipokuwa
akiogelea kwenye maji ya Mto Ngerengere.
Wananchi wameendelea na jitihada za utafutaji wa mwili wa mtoto huyo ambao mpaka sasa bado haujapatikana.
chanzo: zanzibar24.
Comments