Serikali yaifungia Mitandao ya Kijamii kwa Mwezi mmoja katika jimbo la Kashmir kufuatia kuzuka kwa vurugu katika Jimbo hilo. .
Uamuzi huu umechukuliwa baada ya kudaiwa kuwa mitandao hiyo ilitumiwa kufanya uchochezi ambao ulipelekea kufanyika kwa vurugu hizo.
chanzo:zanzibar24..
Comments