
Jeshi litapelekwa kusaidia polisi kulinda maeneo muhimu na vikosi vya usalama vitaruhusiwa kukamatwa bila kibali cha kukamatia.
Kufuatia tukio hilo, Rais Sisi pia ametangaza kuundwa kwa baraza litakalopambana na ugaidi na watu wenye itikadi kali.
Ahmed Abdel Hady ni muislamu ambae anasema kamwe shambulio hilo halitaweza kuwagawa Wamisri.
chanzo:Bbc.
Comments