Matokeo EALA: Wagombea Chadema wakataliwa, Habib Mnyaa apita kwa upande wa CUF.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana April 4, 2017 lilipiga kura ya kuwapitisha wawakilishi wa bunge la Afrika Mashariki ambapo wagombea saba pekee ndio waliopitishwa kwa kupigiwa kura za ndio.
Wagombea sita kati ya hao wanatoka Chama cha mapinduzi (CCM) na mmoja Chama cha wananchi CUF  huku wagombea wawili wa CHADEMA wakikosa sifa baada ya kupigiwa kura nyingi za HAPANA.

1. Fancy Nkuhi
2. Happiness Legiko
3. Maryam Ussi Yahya
4. Dkt Abdullah Makame
5. Dkt Ngwaru Maghembe
6. Alhaj Adam Kimbisa

7.Habib Mnyaa (CUF)
chanzo:zanzibar24.

Comments