Madaktari kutoka Tanzania wapigwa stop Nchini kenya.

Mahakama Nchini Kenya imeizuia Serikali kuajiri Madaktari kutoka Tanzania kwa sababu ndani ya nchi hiyo ya Kenya  kuna Madaktari takriban 1,400 wasioajiriwa.

Mpaka sasa takribani watanzania 400 wenye taaluma ya Utabibu wameomba kazi hiyo kufuatia mgomo wa madaktari ulioikumba Nchi hiyo.


Rais Magufuli alikubali ombi la kupeleka Madaktari 500 ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya kutokana na mgomo unaoendelea nchini humo.
 chanzo:zanzibar24.

Comments