Ili kufanikisha hilo tayari Shule ya Sekondari ya Bwawani inayomilikiwa na jeshi hilo iliyopo Chalinze,mkoani Pwani imeanzisha mtaala wa masomo ya sayansi ili kuandaa wa vijana wa kufanya kazi viwandani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa MagerEZA, Kamishna wa Utawala na Fedha, Gaston Sanga amesema mikakati hiyo inalenga kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali kutilia mkazo ukuaji wa uchumi kupitia viwanda.
Comments